Monday, October 15, 2012

BREAKING NEWZZZ# AMUCTA KESHO KUSAINI BOOM

kesho wanachuo wa Chuo kikuu cha SAUT TABORA watasaini BOOM. Akiongea na MeNaco.com Waziri wa FEDHA alikiri kuwepo kwa taarifa hzo. Mh. Katikiro alisema ya kwamba "baada ya muda mrefu tukiwa tunashughulikia suala la Mkopo wa wanachuo, hatimaye tumefikia mahali pazuri ambapo kesho wanafunzi watasaini hela zao awamu ya kwanza kwa mwaka huu wa masomo"
    hata hivyo alipoulizwa ya kuwa itakuwa ni muda gani amabao wanafunzi watasaini HARD COPY hiyo, alisema yakuwa itakuwa ni SAA 2 mbili asubuhi

HATA HIVYO
   katika kipindi ambacho BOOM hili linatoka, wanachuo hawa wana changamoto kubwa kwani kwa kiasi kikubwa hela hizo kwa walio wengi zitaenda moja kwa moja kwenye ada ya chuo. Kwani muda wa mwisho wa kulipa ada kwaajili ya kujisajili ukiwa umefika. na hii itafanya kwa asilimia kubwa ya wanachuo kurudi katika hali ya umasikini tena. 

RAI
     Rai yangu kwa wanachuo, ni kwamba BOOM likitoka tulitumie kama tulivyopanaga na sio matamanio ya kimwili kupitia macho na tamaa zisizo na ukomo, maana uwezekano wa boom hili kwisha mapema ni rahisi, hivyo basi kama vipi weka n\dani kwako vinavyostahili kabla hujatumia vibaya hela hiyo

NAWATAKIA BOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOM NJEMA

0 comments:

Copyright © 2012 MeNaco.com Academic News and
Blog created by MeNaco.com